MAADHIMISHO SIKU YA MWANAMKE
Matukio ya picha yakiwaonesha Watumishi Wanawake wa Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere namna walivyoungana na Wanawake wengine duniani kusherehekea Maadhimisho ya Siku ya Mwanamke ambapo kwa Mkoa wa Dar es Salaam Maadhimisho hayo yalifanyika katika viwanja vya Barafu- Mburahati Wilaya ya Ubungo