PROFESA MWAKALILA AWAASA WAZAZI KUHUSU WATOTO WAO KUJIUNGA NA CHUO CHA KUMBUKUMBU YA MWALIMU NYERERE
Mkuu wa chuo Cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Prof. Shadrack Mwakalila amewaasa wazazi kuhakkisha watoto wao wanajiunga na Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere kwa kuwa Chuo hicho kinatoa Elimu yenye kukuza vipaji vya Wanafunzi na Kuwajengea uwezo katika kuandaa bunifu kulingana na taaluma mbalimbali. Prof. Mwakalila ameyasema hayo baada ya kutembelea Banda la Chuo katika Maonesho ya wiki ya Elimu ya Juu yanayofanyika katika kamapasi ya Pemba,iliyopo ChakeChake Pemba. Akiwa katika Maonesho hayo Prof. Mwakalila ambaye aliambatana na Vi ... ngozi mbalimbali wa kampasi hiyo alijionea mfumo wa TEHAMA uliobuniwa na Mwanafunzi kutoka Kampasi ya Pemba Mansour Juma Khamis, Mfumo wenye uwezo wa kutuma taarifa zote muhimu za Mwanafunzi kwa Mzazi, ikiwemo mahudhurio ya Mwanafunzi husika. Aidha, Prof. Mwakalila ameupongeza Uongozi wa Kampasi na wanafunzi kwa kushiriki vyema katika maonyesho hayo ya Wiki ya Elimu ya Juu. Imetolewa na: Kitengo cha Mawasiliano na Masoko CHUO CHA KUMBUKUMBU YA MWALIMU NYERERE 31.08.2023 Read more >
[ 2023-09-01 ]
Visitors Counter
Flag Counter
Collaboration

TCU Link

NACTE Link
NECTA Link
ZHELB Link
HELSB Link
MoEST Link
MoEZ Link
Social Networks
Facebook
Instagram
Youtube
Twitter
Contact us
Hotline : +255 (22) 2820041/47
P.O.BOX : 9193 Dar es Salaam,TANZANIA
Email : rector@mnma.ac.tz
Location : Kivukoni Dar-es-salaam