WIKI YA MAONESHO YA SAYANSI, TEKNOLOJIA NA UBUNIFU
Mkuu wa chuo Cha kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Prof. Shadrack Mwakalila akikagua banda la chuo wakati wa Maonesho ya wiki ya ubunifu ya Maonesho ya Sayansi, Teknolojia na Ubunifu katika viwanja vya Jamhuri mkoani Dodoma. Kauli mbiu katika maonesho hayo ni Ubunifu kwa Uchumi Shindani.
KAMATI YA BUNGE YA KUDUMU YA BUNGE YA ELIMU, UTAMADUNI NA MICHEZO
Mkuu wa Chuo Prof. Shadrack Mwakalila akitoa Maelezo kwa kamati ya kudunu ya Bunge, Elimu, Utamaduni na Michezo kuhusu utekelezaji wa Miradi mbalimbali inayitekelezwa na Chuo.
USHINDI WA KITAIFA WA MASHINDANO YA MICHEZO YA WANAFUNZI (SHIMIVUTA)
Naibu Mkuu wa Chuo Cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere (MNMA) akiinua juu kombe la ushindi wa kitaifa wa mashindano ya kimichezo ya wanafunzi wa chuo hicho walioshiriki kwenye Mashindano ya Shirikisho la Michezo ya Vyuo Vya Elimu ya Juu Tanzania (SHIMIVUTA) ambayo yakifanyika mkoani Mwanza hivi kari
WAZIRI MKENDA AWEKA JIWE LA MSINGI MAKTABA YA CHUO CHA MNMA
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda aweka jiwe la msingi ujenzi jengo la maktaba Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere.
CHUO CHA KUMBUKUMBU YA MWALIMU NYERERE CHAIBUKA MSHINDI
Naibu Mkuu wa Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Prof. Richard Kangarawe akiwa na Ngao ya ushindi wa kwanza katika kipengele cha Biashara, Utalii na Mipango aliyokabidhiwa na Mgeni rasmi Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe. Prof. Adolf Mkenda.
MAONESHO YA ELIMU YA UFUNDI NA MAFUNZO YA UFUNDI STADI MKOANI DODOMA
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Anthony Mtaka akizungumza na Mmoja wa Wanafunzi wabunifu alipotembelea banda la Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere wakati wa Maonesho ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi .
Prof. Shadrack Mwakalila
RECTOR
Greetings and welcome to Mwalimu Nyerere Memorial Academy (MNMA), the former Kivukoni College.
We are grateful that you have chosen to be part of the MNMA community....
The Mwalimu Nyerere Memorial Academy was initially a product of Kivukoni College. In February 1958, the National Conference of TANU held in Tabora passed a Resolution to establish a college for adults in line with Ruskin College in Oxford. The College was intended to be a tool for spreading understanding of social, political and economic problems facing underdeveloped countries. Tanganyika was one of such countries whose people were likely to become leaders in a newly independent country but did not have the qualifications necessary to enter educational institutions. The Adult College was formally established on 29th July 1961 as a private company under the Companies Ordinance (Cap. 212). The Institution was named Kivukoni College. While inaugurating Kivukoni College, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, the President of TANU and the Prime Minister of Tanganyika by then, had this to say about the name of the College.
The Mwalimu Nyerere Memorial
Academy introduced Ethics,
Leadership and Governance
Training Programme under the
Kibweta Cha Mwalimu Nyerere.
Read More...
SHORT
COURSES
TOEFL & GRE
CHINESE LANGUAGE
KISWAHILI KWA WAGENI
ALUMNI
Alumni offers members a means to network with each other and much more to support education objectives of MNMA and maintain relationship with its alumni.
On this Alumni page
you can keep up to
date with what our
students are doing
after graduation;
see what they are
studying and what
career paths they
follow.