KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA ELIMU, UTAMADUNI NA MICHEZO
Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo Mzee Stephen Wasira akiwa na kamati ya kudumu ya Bunge Elimu, Utamaduni na Michezo ilipotembelea Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere kampasi ya Karume tarehe 26.8.2023 kukagua ujenzi wa mradi wa Hostel za wanafunzi za Chuo.