MAHAFALI YA 17 KAMPASI YA KIVUKONI
Mkuu wa Chuo Profesa Shadrack Mwakalila akiwa ameongozana na Mgeni rasmi Dkt. Francis Michael Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia ambaye alikuwa mgeni rasmi katika Mahafali ya 17 yaliyofanyika katika Kampasi ya Kivukoni Jijini Dar es Salaam siku ya Ijumaa Novemba 25, 2022.