PROF. MAPESA AMSIMIKA MKURUGENZI MPYA KAMPASI YA KARUME - ZANZIBAR
Mkuu wa Chuo Prof. Haruni Mapesa aliyesimama katikati akishuhudia Dkt. Rose Mbwete Mkurugenzi aliyemaliza muda wake akimkabidhi nyaraka Mkurugenzi mpya wa Kampasi hiyo Dkt. Sifuni Lusiru