CHUO CHA KUMBUKUMBU YA MWALIMU NYERERE KINASHIRIKI MAONESHO YA SABASABA
Naibu Mkuu wa Chuo cha Kumbukumbu ya Nwalimu Nyerere anayesimamia masuala ya Taaluma, Utafiti na Ushauri wa Kitaaluma Prof. Richard Kangalawe ametembelea banda la Chuo kwenye Maonesho ya Kimataifa ya 48 ya Biashara, maarufu Kama Sabasaba. Prof. Kangalawe amesema kupitia Maonesho hayo Chuo kinapata fursa nzuri ya kujitangaza na kuonesha aina ya kazi zinazofanywa na chuo hicho kwa Wadau. Amesema Maonesho hayo ni fursa ya Kutangaza nafasi mbalimbali za kozi zinazotolewa Chuoni hapo, fursa kwa wanataaluma kuonesha machapisho yao mbalimbali pa ... oja na Kuonesha Kazi mradi za wanafunzi zinazoandaliwa na Wanafunzi wa Chuo hicho. Imetolewa na: Kitengo cha Mawasiliano na Masoko CHUO CHA KUMBUKUMBU YA MWALIMU NYERERE 04.07.2024 Read more >
[ 2024-07-06 ]
Visitors Counter
Flag Counter
Collaboration

TCU Link

NACTE Link
NECTA Link
ZHELB Link
HELSB Link
MoEST Link
MoEZ Link
Social Networks
Facebook
Instagram
Youtube
Twitter
Contact us
Hotline : +255 (22) 2820041/47
P.O.BOX : 9193 Dar es Salaam,TANZANIA
Email : rector@mnma.ac.tz
Location : Kivukoni Dar-es-salaam