MNMA YASHIRIKI MAZIKO YA DKT. GODWIN KAGANDA
Naibu Mkuu wa Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere anaesimamia Mipango, Fedha na Utawala, Dkt Evaristo Haule ameshiriki maziko ya Dkt Godwin Kaganda ambayo yameanyika leo tarehe 24.12.2024 katika kijiji cha Kanyigo- Kigarama , Wilayani Bukoka mkoani Kagera. Akizungumza kwa niaba ya Mkuu wa Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere , Dkt Haule amemuelezea Dkt Godwin Emmanuel kaganda kuwa alikuwa ni mchapakazi, Mnyenyekevu na aliyesimamia miongozo, taratibu na Sheria za Utumishi wa Umma wakati wote alipokuwa akitumiza majukumu yake. Wakati w ... uhai wake Dkt. Godwin Kaganda amewahi kufanya kazi katika Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu akiwa na Cheo cha Naibu Mkuu wa Chuo anaeshughulikia Mipango, Utawala na Fedha kwa mwaka 2019 hadi mwaka 2022. Bodi ya Chuo, Menejimenti, Wafanyakazi na Wanafunzi wote wanatoa pole kwa familia, ndugu jamaa na Marafiki kwa msiba huo. Bwana Ametoa, Bwana Ametwaa, Jina lake lihimidiwe.Aaamina. Imetolewa na: Kitengo cha Mawasiliano na Masoko Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere. 24.12.2024 Read more >
[ 2024-12-27 ]
Visitors Counter
Flag Counter
Collaboration

TCU Link

NACTE Link
NECTA Link
ZHELB Link
HELSB Link
MoEST Link
MoEZ Link
Social Networks
Facebook
Instagram
Youtube
Twitter
Contact us
Hotline : +255 (22) 2820041/47
P.O.BOX : 9193 Dar es Salaam,TANZANIA
Email : rector@mnma.ac.tz
Location : Kivukoni Dar-es-salaam