PROF. MAPESA AZINDUA BASI JIPYA LA CHUO
Mkuu wa Chuo cha kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Prof. Haruni Mapesa leo amezindua rasmi basi jipya la Chuo aina ya TATA MARCOPOLO. Akizungumza na watumishi wakati akizindua basi hilo amesema hii ni hatua kubwa kwa taaaisi kuwa na chombo cha usafiri cha aina hii na kuwa kitarahisiaha shughuli za chuo kwa ufanisi. Mapesa Amesema huu ni mwanzo na kuwa Chuo kitaendelea kuongeza vyombo vya usafiri zaidi kwa kuwa Taasisi nayo inakuwa. Pia amewataka madereva kutunza vyombo hivyo ikiwa ni pamoja na kuzingatia Sheria za barabarani na kutoendesha ... kwa mwendo wa haraka. Imetolewa na: Kitengo cha Mawasiliano na Masoko CHUO CHA KUMBUKUMBU YA NWALIMU NYERERE 25.06.2025 Read more >
[ 2025-06-27 ]
Visitors Counter
Flag Counter
Collaboration

TCU Link

NACTE Link
NECTA Link
ZHELB Link
HELSB Link
MoEST Link
MoEZ Link
Social Networks
Facebook
Instagram
Youtube
Twitter
Contact us
Hotline : +255 (22) 2820041/47
P.O.BOX : 9193 Dar es Salaam,TANZANIA
Email : rector@mnma.ac.tz
Location : Kivukoni Dar-es-salaam