PROF. MAPESA AWATUNUKU VYETI WAELIMISHA RIKA NA AMEWATAKA KUZINGATIA NIDHAMU
Mkuu wa Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Prof. Haruni Mapesa amewataka Waelimisha rika ambao ni wanafunzi kuendelea kutumia na kuyaishi Maarifa waliyoyapata kwa kuwafundisha vijana wenzao wengine ili hekima yao ionekane katika jamii wanazoishi. Prof. Mapesa amewaasa Wanafunzi hao kubadilika baada ya kupata mafunzo ya namna bora ya kujikinga na maambukizi ya virusi vya Ukwimi, Afya ya uzazi, kuacha kujiingiza kwenye makundi yasiyofaa, kujitambua na kuisha maisha yanayozingatia Maadili, Nidhamu na kuacha yale yote ambayo hayapendezi k ... tika jamii. Mkuu huyo wa Taasisi amewataka Waelimisha rika hao kuwa kielelezo katika jamii na kuwa elimu hiyo iwafae wakiwa hapa Chuoni na hata watakapotoka nje ya Chuo. Kwa upande wake Mwenyekiti wa Waelimisha Rika kwa niaba ya Wanafunzi wenzake Faidhu Maulid ameshukuru Uongozi wa Chuo kwa kuwezesha kujifunza kwa ufasaha na kuwa wanaahdi kwenda kutekeleza kama walivyofundishwa. Imetolewa na Kitengo cha Mawasiliano na Masoko Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere 22.05.2026 Read more >
[ 2026-05-22 ]
Visitors Counter
Flag Counter
Collaboration

TCU Link

NACTE Link
NECTA Link
ZHELB Link
HELSB Link
MoEST Link
MoEZ Link
Social Networks
Facebook
Instagram
Youtube
Twitter
Contact us
Hotline : +255 (22) 2820041/47
P.O.BOX : 9193 Dar es Salaam,TANZANIA
Email : rector@mnma.ac.tz
Location : Kivukoni Dar-es-salaam
W
E
L
C
O
M
E