KONGAMANO LA KUMBUKUMBU YA KUZALIWA BABA WA TAIFA, MWALIMU J.K. NYERERE
Matukio mbalimbali ya Picha kuhusu Kongamano la siku moja la Kumbukumbu ya kuzaliwa Baba wa Taifa, Mwalimu J.K.Nyerere lilifanyika Chuoni ambapo Mgeni rasmi alikuwa ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Dkt. Franklyn Rwezimula ambaye pamoja na mambo mengine amesisitiza Watanzania kuendelea kudumisha Amani, Upendo na Mshikamano. Pia alizitaka sekta za Umma na zile za Binafsi kuhakikisha wanatumia vyema fursa ya Mafunzo ya muda mfupi ya Uongozi na Maadili yanayotolewa katika Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere. Mada ... uu katika kongamano hilo ni: “Amani na Usawa Kwa Maendeleo ya Tanzania” Read more >
[ 2023-04-18 ]
Visitors Counter
Flag Counter
Collaboration

TCU Link

NACTE Link
NECTA Link
ZHELB Link
HELSB Link
MoEST Link
MoEZ Link
Social Networks
Facebook
Instagram
Youtube
Twitter
Contact us
Hotline : +255 (22) 2820041/47
P.O.BOX : 9193 Dar es Salaam,TANZANIA
Email : rector@mnma.ac.tz
Location : Kivukoni Dar-es-salaam
W
E
L
C
O
M
E