MASAA YA KAZI

  SIKU

   SAA
Jumatatu - Jumamosi

   3:00 ASUBUHI   - 12:00 JIONI   

   1:30 USIKU  - 4:00 USIKU

   JUMAMOSI    3:00 ASUBUHI  - 7:00 MCHANA
 
   
        VITABU MTANDAO VILIVYOLIPIWA
http://www.jstor.org/ http://www.tandfonline.com/ http://www.cambridge.org/ http://emeraldinsight.com/ http://www.elibrary.imf.org/ http://onlinelibrary.wiley.com http://online.liverpooluniversitypress.co.uk/ http://www.siam.org/ http://pubs.rsc.org/ http://www.liebertpub.com/ http://www.birpublications.org/ http://www.sagepub.com/ http://www.freefullpdf.com
 
   
        VITABU MTANDAO VYA BURE

www.pdfdrive.net

www.b-ok.org

www.bookfi.net

www.sharebookfree.com

www.manybooks.net

www.bookyards.com

www.freecomputerbooks.com

www.essays.se

http://bookzz.org/

http://bookboon.com/

https://books.google.com/ http://golibgen.io/ www.libgen.info 

 

HUDUMA ZA MAKTABA
Maktaba ndiyo moyo wa Kampasi na ni sehemu muhimu ya dhamira ya CKMN. Dhamira yake ni kuhakikisha kwa wakati wote ujifunzaji unafanyika kwa njia zilizo bora kuanzia katika ufundishaji, utafiti, ushauri wa kitaalamu na utumishi wa umma.

 Lengo ni kuhakikisha kunakuwa na mazingira mazuri ya kujifunzia yenye kulenga kuchagiza utafutaji wa maarifa zaidi, kukuza ubunifu, kukuza fikra kwa utunduizi na ustadi ulio endelevu.
Maktaba hutoa huduma ya habari kwa watumiaji wa maktaba wa ndani na nje ya Kampasi. Huduma zinazotolewa ni pamoja na kuazima vitabu vya maktaba na huduma za utoaji wa nyaraka.
.

USAJILI WA UANACHAMA
  1. Wanafunzi wote waliosajiliwa na wanataaluma wa Chuo wanastahiki kutumia na kuazima vifaa (Vitabu, vitabu vya miongozo, n.k.) kutoka kwenye Maktaba.
  2. Wafanyakazi wengine walioajiriwa na CKMN au wafanyikazi wa Kada nyingine pia wanaruhusiwa kutumia maktaba ingawa hawaruhusiwi kuazima vitabu isipokuwa kwa ruhusa maalumu kutoka kwa Mkuu wa Chuo au Mkuu wa Maktaba. Ikiwa ruhusa hiyo itaolewa basi, Mfanyakazi huyo atahitajika kuwasilisha kitambulisho chake.
  3. Watumiaji wa nje: - Ambao si wanachuo au wafanyakazi wa Chuo hawawezi kutumia maktaba wala kuazima nyenzo au vitabu vyovyote kutoka Maktaba isipokuwa kwa ruhusa maalumu kutoka kwa Mkuu wa Chuo.

 

WATUMIAJI WA MAKTABA YA CKMN:

Watumiaji wa maktaba ya CKMN ni wanajumuiya Wa CKMN na watumiaji wengine walioidhinishwa kutoka nje ya CKMN wakiwamo watafiti kutoka ndani na nje ya Tanzania.

TARATIBU ZA UPATIKANAJI HUDUMA:

Upataji wa huduma za maktaba ya CKMN ni BURE (bila malipo) kwa sasa.
Watumiaji wote wa maktaba ya CKMN wanatakiwa kuzingatia Kanuni na taratibu zake.
 

 

KANUNI ZA MAKTABA
  1. Maktaba itatumika kwa kujisomea na kuazima vitabu au nyenzo nyingine za taarifa kwa wananchuo na wafanyakazi wanataaluma.
  2. Kwa sasa wafanyakazi wote wa CKMN walioajiriwa kutoka kundi la wafanyakazi ambao sio wanataaluma wanaweza kuruhusiwa kutumia huduma za maktaba ingawa hawaruhusiwi kuazima vitabu au nyenzo nyingine za taarifa kutoka maktaba
  3. Watu ambao sio wanafunzi na wala si waajiriwa wa Chuo pamoja na watumiaji kutoka nje ya Chuo hawaruhusiwi kutumia huduma za maktaba. (Isipokuwa kwa idhini maalumu kutoka kwa Naibu Mkuu wa Chuo Taaluma au Mkutubi Mkuu)
  4. Hakuna waraka au nyaraka yoyote itakayotolewa au kupatiwa mtumiaji kutoka maktaba mpaka pale itakapokaguliwa na kuidhinishwa rasmi na wafanyakazi wa maktaba.

 

Idadi ya Waliovinjari
Flag Counter
Washirika

TCU

NACTE
NECTA
ZHELB
HELSB
MoEST
MoEZ
Mitandao ya kijamii
Facebook
Instagram
Youtube
Twitter
Wasiliana Nasi
Simu : +255 (22) 2820041/47
S.L.P : 9193 Dar es Salaam,TANZANIA
Barua Pepe : rector@mnma.ac.tz
Mahali : Kivukoni Dar-es-salaam