WIKI YA MAONESHO YA SAYANSI, TEKNOLOJIA NA UBUNIFU
Mkuu wa chuo Cha kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Prof. Shadrack Mwakalila akikagua banda la chuo wakati wa Maonesho ya wiki ya ubunifu ya Maonesho ya Sayansi, Teknolojia na Ubunifu katika viwanja vya Jamhuri mkoani Dodoma. Kauli mbiu katika maonesho hayo ni Ubunifu kwa Uchumi Shindani.
KAMATI YA BUNGE YA KUDUMU YA BUNGE YA ELIMU, UTAMADUNI NA MICHEZO
Mkuu wa Chuo Prof. Shadrack Mwakalila akitoa Maelezo kwa kamati ya kudunu ya Bunge, Elimu, Utamaduni na Michezo kuhusu utekelezaji wa Miradi mbalimbali inayitekelezwa na Chuo.
USHINDI WA KITAIFA WA MASHINDANO YA MICHEZO YA WANAFUNZI (SHIMIVUTA)
Naibu Mkuu wa Chuo Cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere (MNMA) akiinua juu kombe la ushindi wa kitaifa wa mashindano ya kimichezo ya wanafunzi wa chuo hicho walioshiriki kwenye Mashindano ya Shirikisho la Michezo ya Vyuo Vya Elimu ya Juu Tanzania (SHIMIVUTA) ambayo yakifanyika mkoani Mwanza hivi kari
WAZIRI MKENDA AWEKA JIWE LA MSINGI MAKTABA YA CHUO CHA MNMA
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda aweka jiwe la msingi ujenzi jengo la maktaba Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere.
CHUO CHA KUMBUKUMBU YA MWALIMU NYERERE CHAIBUKA MSHINDI
Naibu Mkuu wa Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Prof. Richard Kangarawe akiwa na Ngao ya ushindi wa kwanza katika kipengele cha Biashara, Utalii na Mipango aliyokabidhiwa na Mgeni rasmi Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe. Prof. Adolf Mkenda.
MAONESHO YA ELIMU YA UFUNDI NA MAFUNZO YA UFUNDI STADI MKOANI DODOMA
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Anthony Mtaka akizungumza na Mmoja wa Wanafunzi wabunifu alipotembelea banda la Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere wakati wa Maonesho ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi .
Prof. Shadrack Mwakalila
MKUU WA CHUO
Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere (CKMN) ni taasisi ya elimu ya juu iliyotokana na Chuo cha Kivukoni kilichoanzishwa mnamo tarehe 29 Julai, 1961. Chuo kina historia ya kuwa taasisi pekee ambayo imehifadhi kumbukumbu muhimu za kuwajengea uwezo...
Chuo cha
Kumbukumbu
ya Mwalimu
Nyerere hapo
awali
kilikuwa ni
zao la Chuo
cha Kivukoni.
Mnamo mwezi
Februari,
mwaka 1958
katika
Mkutano wa
Kitaifa wa
TANU
uliofanyika
Tabora
ulipitisha
Azimio la
kuanzisha
Chuo cha
watu wazima
katika
mfuatano wa
Chuo cha
Ruskin huko
Oxford. Chuo
kilichukuliwa
kama chombo
cha kueneza
uelewa wa
changamoto
za kijamii,
kisiasa na
kiuchumi
zinazozikabili
nchi
zinazoendelea
kama vile
Tanganyika
ambapo watu
wake
walikuwa
kati ya watu
waliokuwa na
uwezo wa
kuwa
viongozi
katika nchi
mpya
iliyojitegemea,
lakini
hawakuwa na
sifa
zinazowawezesha
kujiunga
katika
taasisi za
elimu. Chuo
cha Watu
Wazima
kilianzishwa
rasmi tarehe
29 Julai,
1961 kama
kampuni ya
kibinafsi
chini ya
Sheria ya
Kampuni (Sura
ya 212).
Taasisi hiyo
ilipewa jina
la Chuo cha
Kivukoni.
Wakati
akizindua
Chuo cha
Kivukoni,
Mwalimu
Julius
Kambarage
Nyerere,
Rais wa TANU
na Waziri
Mkuu wa
Tanganyika
wakati huo
alikuwa na
haya ya
kusema juu
ya jina la
Chuo hicho.
Chuo Cha
Kumbukumbu ya
Mwalimu Nyerere
(MNMA),
kinapenda
kuwatangazia
kuwa kutakuwa na
Mafunzo maalumu
ya Uongozi na
Maadili
yatakayofanyika
kwa
muda wa wiki
moja.
Soma zaidi...
KOZI
MUDA MFUPI
TOEFL & GRE
LUGHA YA KICHINA
KISWAHILI KWA WAGENI
WAHITIMU
Karibu kwenye
ukurasa wa tovuti ya
wahitimu. Ukurasa
huu unawapa wahitimu
njia ya kuwasiliana
kila mmoja na
kupashana juu ya
masuala mengi zaidi.
Lengo kuu ni
kusaidia kuendeleza
dhima, malengo ya
kielimu ya CKMN na
kudumisha uhusiano
na wahitimu wake.