DIRA NA DHIMA

 

Dira

Dira ya chuo ni kuwa kitovu cha  utoaji wa maarifa bora kwa kutoa elimu na mafunzo kuhusu ubunifu na uvumbuzi wa kuendeleza amani na umoja wa kitaifa.



Dhima

Dhima ya chuo ni kujitolea kwa dhati kuendeleza utoaji wa elimu ya kudumu kupitia ufundishaji bora, utafiti, kuwa na mazingira ya kujifunzia yenye changamoto na yanayosaidia ambapo upataji wa maarifa, utafiti wa ubunifu, umakini na stadi tumizi zitaendelezwa na kudumishwa.

Idadi ya Waliovinjari
Flag Counter
Washirika

TCU

NACTE
NECTA
ZHELB
HELSB
MoEST
MoEZ
Mitandao ya kijamii
Facebook
Instagram
Youtube
Twitter
Wasiliana Nasi
Simu : +255 (22) 2820041/47
S.L.P : 9193 Dar es Salaam,TANZANIA
Barua Pepe : rector@mnma.ac.tz
Mahali : Kivukoni Dar-es-salaam