KUHUSU UTAFITI


Utafiti
Ushauri
Jarida
     CONSULTANCY MAELEZO YA KITENGO CHA UTAFITI NA USHAURI WA KITAALAMU


Chuo kimedhamiria kutoa tafiti za hali ya juu ili ziweze kuleta athari kwa jamii ya kitaifa na ya kimataifa ili kuchochea upatikanaji wa fedha za kuwafadhili washiriki na wanachuo wanaotarajiwa kufanya tafiti za uzamili.


Kitengo cha Utafiti na Ushauri wa kitaaluma kinahakikisha kuwa:
Tafiti zilizofanywa zinakuwa bora zaidi na zinazoweza kutumiwa na wadau wa utafiti katika usimamizi, utekelezaji na tathmini ya mipango yake.
1. Matokeo ya utafiti hutumiwa vizuri katika kutatua na kujibu shida.
2. Tafiti zote hupitiwa na kutathminiwa kufikia viwango vya kidunia na vya kimataifa.
3. Mada za utafiti na maswali ni muhimu na ziko katika vipaumbele vya Chuo.
4. Kuhakikisha zinatumika njia tmbalimbali za kitaaluma katika tafiti zote ili kupata matokeo bora zaidi ya kisayansi.
5. Wanataaluma kutoka fani mbalimbali wanatumia tafiti hizo kuhakikisha wanatoa huduma za Ushauri wa kitaalamu kwa taasisi za serikali na binafsi na ndani na nje ya nchi.
 

 


   KUHUSU UTAFITI


Utafiti
Ushauri
Jarida
Idadi ya Waliovinjari
Flag Counter
Washirika

TCU

NACTE
NECTA
ZHELB
HELSB
MoEST
MoEZ
Mitandao ya kijamii
Facebook
Instagram
Youtube
Twitter
Wasiliana Nasi
Simu : +255 (22) 2820041/47
S.L.P : 9193 Dar es Salaam,TANZANIA
Barua Pepe : rector@mnma.ac.tz
Mahali : Kivukoni Dar-es-salaam