APPLICATION 2026/2027
PONGEZI
Mwenyekiti wa bodi ya Chuo, Mhe. Stephen Wasira akimkabidhi tuzo ya Pongezi na Shukrani mjumbe wa bodi aliyemaliza muda wa kutumikia bodi hiyo Prof. David Mfinanga katika kipindi cha miaka mitatu kuanzia 2023 hadi 2026.
PONGEZI
Mwenyekiti wa bodi ya Chuo, Mhe. Stephen Wasira akimkabidhi tuzo ya Pongezi na Shukrani mjumbe wa bodi aliyemaliza muda wa kutumikia bodi hiyo Bw. Ally Kibona katika kipindi cha miaka mitatu kuanzia 2023 hadi 2026.
CONEERENCEANNOUNCEMENT ANDCALLFORPAPERS
Leadership Courses
MAADHIMISHO YA SIKU YA WAFANYAKAZI MEI 2026
Mkuu wa Chuo Prof. Haruni Mapesa akiwa na Watumishi wa Kampasi ya Kivukoni katika Picha ya pamoja wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi duniani - Mei Mosi yaliyofanyika jijini Dar es Salaam katika viwanja vya Mnazi Mmoja
kongamano la myerere april 2026
MAADHIMISHO SIKU YA MWANAMKE
Matukio ya picha yakiwaonesha Watumishi Wanawake wa Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere namna walivyoungana na Wanawake wengine duniani kusherehekea Maadhimisho ya Siku ya Mwanamke ambapo kwa Mkoa wa Dar es Salaam Maadhimisho hayo yalifanyika katika viwanja vya Barafu- Mburahati Wilaya ya Ubungo
TUZO YA PONGEZI
Mkuu wa Chuo Prof. Haruni Mapesa akimkabidhi tuzo ya pongezi Dkt Rose Mbwete Mkurugenzi aliyemaliza muda wake wa kutumikia nafasi hiyo kwa miaka saba 2018 hadi 2025.
PROF. MAPESA AMSIMIKA MKURUGENZI MPYA KAMPASI YA KARUME - ZANZIBAR
Mkuu wa Chuo Prof. Haruni Mapesa aliyesimama katikati akishuhudia Dkt. Rose Mbwete Mkurugenzi aliyemaliza muda wake akimkabidhi nyaraka Mkurugenzi mpya wa Kampasi hiyo Dkt. Sifuni Lusiru
PONGEZI KWA MHESHIMUWA RAISI WA JAMUHURI YA MUUNGANO
MAKABIDHIANO YA TUZO
Mkuu wa Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere (MNMA) Prof. Haruni Mapesa akikabidhiwa tuzo (trophy) na Mkuu wa Kamandi ya Jeshi la Wanamaji Meja Jenerali Ameir Hassan ikiwa ni ishara ya kutambuana, kuendeleza ushirkiano na umoja kati ya Taasisi hizo mbili ambazo ni majirani.
Kumbukuzi ya kuzaliwa
Karume day
Kongamano la Nyerere 2025
SIKU YA WANAWAKE 2025
Baadhi ya Wanawake wa Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere wakiwa katika picha ya pamoja wakati wa Maadhimisho ya siku ya Wanawake duniani ambapo kwa mkoa wa Dar es salaam yalifanyika katika viwanja vya Leaders Club Wikayani kinondoni.
SHIMIVUTA 2024
Mkuu wa Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Prof. Haruni Mapesa akiwa ameshika kombe la ushindi, baada ya wanafunzi wa Chuo hicho walioshiriki mashindano ya SHIMIVUTA kuibuka washindi katika mchezo wa wavu. Mashindano hayo yalifanyika mwaka jana katika Manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro.
ZIARA YA KANSELA WA UBALOZI WA CHINA
Mkuu wa Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Prof. Haruni Mapesa aliyesimama katikati akiwa katika picha ya pamoja na Kansela wa Ubalozi wa China nchini Tanzania Xu Sujiang kutoka idara ya kimataifa ya Kamati Kuu ya Chama cha Kikomonisti cha China(IDCPC), ambaye amesimama upande wa kushoto.
MAHAFALI YA TISA KAMPASI YA KARUME ZANZIBAR
Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo, Mzee Stephen Wasira na Mkuu wa Chuo Prof. Haruni Mapesa wakiongoza Maandamano ya Wajumbe wa Bodi, Wakurugenzi, Wativa na Wahitimu wakati wa Mahafali ya 2 Kampasi ya Karume, eneo la Bububu Visiwani, Zanzibar ambapo Wahitimu zaidi ya 1200 wamehitimu kozi mbalimbali.
Graduation 2024 Pemba
Graduation 2024
CHUO CHA KUMBUKUMBU YA MWALIMU NYERERE NA WIZARA YA UTAMADUNI
Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo na Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere leo wameshiriki katika hafla ya pamoja ya kutia Saini hati ya Makubaliano ya ushirikiano katika Kutambua,kuhifadhi,Kulinda,kuendeleza na kutangaza urithi wa Ukombozi wa Bara la Afrika.
Miaka mitatu ya Uongozi wa Dkt. Samia Suluhu Hassan
KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA ELIMU, UTAMADUNI NA MICHEZO
Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo Mzee Stephen Wasira akiwa na kamati ya kudumu ya Bunge Elimu, Utamaduni na Michezo ilipotembelea Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere kampasi ya Karume tarehe 26.8.2023 kukagua ujenzi wa mradi wa Hostel za wanafunzi za Chuo.
UWEKAJI WA JIWE LA MSINGI - KAMPASI YA PEMBA
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar Dkt. Hussein Mwinyi akiwa katika picha ya pamoja katika hafla ya uwekaji wa jiwe la msingi la majengo ya Chuo, Kampasi ya Pemba.
UWEKAJI WA JIWE LA MSINGI - KAMPASI YA PEMBA
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar Dkt. Hussein Mwinyi akiweka jiwe la msingi ujenzi wa Kampasi ya Pemba.