KONGAMANO LA KUMBUKIZI YA KUZALIWA MWALIMU JULIUS K. NYERERE
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi na Mwenyekiti wa bodi ya Chuo Mhe. Stephen Wasira akimkabidhi zawadi ya tuzo Mgeni rasmi Mhe. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Biteko wakati wa Kongamano la kumbukizi ya kuzaliwa Baba wa Taifa Mwalimu JK. Nyerere lililofanyika Chuoni hapo.